• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisini |
KIBONDO DISTRICT COUNCIL
KIBONDO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serilali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi wa Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Maliasil Ardhi na Mistu
      • Kilimo Ushirika na Umwagiriaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Idara ya Ujenzi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Teknolojia na Habari
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Afya, Elimu na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

Mifugo

HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA IDARA YA MIFUGO

KITENGO CHA MIFUGO.

HUDUMA ZA UGANI

Kutoa elimu kwa wafugaji juu ya kanuni bora za ufugaji ili kuinua kiwango cha uzalishaji wa mazao mbalimbali ya mifugo (maziwa, nyama, mayai na ngozi)

UKAGUZI WA NYAMA.

Kuhakikisha afya ya jamii inalindwa kupitia ukaguzi wa nyama za mifugo yote inayochinjwa kwa ajili ya matumizi ya binadamu.

AFYA YA MIFUGO

Mifugo yetu kama mojawapo ya viumbe hai, idara inahakikisha afya zao zinaangaliwa kupitia uzuiaji ueneaji wa magonjwa ya kuambukiza kwa kusimamia na kutoa chanjo dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mifugo, kuudhibiti wadudu waenezao magonjwa na kutoa tiba za magonjwa mbalimbali ya mifugo. Hii ni katika kuhakikisha mifugo inakuwa na afya nzuri ili kuinua kiwango cha uzalishaji.

HUDUMA ZA MIFUGO

Kutoa huduma mbalimbali za mifugo kama vile; kuhasi, kukata pembe, kukata mikia, kukata kwato,kukata midomo, kukata meno, kupima mimba, kuhamilisha, kuchoma sindano ya kuchochea joto na madini ya chuma; kumsaidia mfugo kuzaa na kutoa kondo la nyuma.

UPATIKANAJI WA MALISHO NA MAJI

Kusimamia utengaji wa maeneo ya kutosha kwa ajili ya malisho na maji.

Kutatua migogoro inayotokana na malisho.

UTAMBUZI, USAJILI NA UFUATILIAJI WA ALAMA ZA MIFUGO

Kutambua mifugo yote ilinayofugwa katika Wilaya, kuisajili na kuipiga chapa kwa lengo la kusimamia uhamishaji wa mifugo kutoka eneo moja kwenda eneo jingine, kudhibiti ueneaji wa magonjwa ya mifugo na kufuatilia mifugo inayopotea au kuibiwa.

UKUSANYAJI WA MADUHULI YA SERIKALI.

Ukusanyaji wa maduhuli ya serikali kuu kupitia utoaji wa vibali vya kusafirisha mifugo na mazao yake.

Ukusanyaji wa maduhuli ya Halmashauri kupitia utoaji wa vibali vya biashara za mifugo na mazao yake.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI UHASIBU January 22, 2020
  • TANGAZO NAFASI ZA KAZI UTENDAJI DARAJA III October 22, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WANANCHI WOTE October 08, 2018
  • TANGAZO LA MIKOPO KWA VIKUNDI January 11, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MKURUGENZI MTENDAJI AANZISHA KILIMO CHA ALIZETI KIBONDO

    January 25, 2021
  • UJENZI WA KITUO CHA KUHIFADHI NA KUUZA MAZAO KAGEZI YAANZA KUJENGWA

    January 22, 2021
  • UJENZI WA KIWANDA CHA KUCHAKATA MAZAO YA NYUKI YAKARIBIA KUKAMILIKA

    January 05, 2021
  • MKURUGENZI MTENDAJI KIBONDO AFANYA MSAKO WA KUKAGUA MAPATO

    September 07, 2020
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi Mtendaji na Mbunge wakitoa maelekezo kwa Wananchi.
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Constructions of Latrines
  • Investment Reports
  • Construction of Four Stall at Nanenane Bus Stand
  • Construction of Health Staff House at Kifura
  • Rehabilitation of Canteen at CotC Kibondo
  • Construction of Administration Building
  • OPRAS FOMU
  • Sick-Sheet Forms
  • Upimaji wa Viwanja Eneo la Kijiji cha Nengo

Zinazohusiana

  • UTUMISHI
  • PO-RALG
  • NECTA
  • PUBLIC PROCUREMENT REGULATORY AUTHORITY
  • UTUMISHI PORTAL
  • KIGOMA REGION
  • WANANCHI PORTAL
  • INVESTMENT CENTRE
  • AJIRA
  • Ministry of Industries

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Wasiliana nasi

    KIBONDO DISTRICT COUNCIL, KIBONDO TOWNSHIP IHULILO STREET

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 43, KIBONDO

    Simu ya Mezani: +255 028 282 0084

    Simu: +255 028 282 0084

    Barua pepe: ded@kibondodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma
    • Kanusho

Hakimiliki ©2017 Kibondodc .Haki zote zimehifadhiwa.