• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisini |
KIBONDO DISTRICT COUNCIL
KIBONDO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serilali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi wa Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Maliasil Ardhi na Mistu
      • Kilimo Ushirika na Umwagiriaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Idara ya Ujenzi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Teknolojia na Habari
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Afya, Elimu na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

TUMIENI VIZURI MISAADA MNAYOLETEWA NA VIONGOZI WENU

Posted on: November 18th, 2017

Kama wanavyoonekana hapo juu pichani.

Anayekabidhi mifuko 100 ya Saruji ni Mkuu wa Wilaya ya KIbondo Mhe. Bura. Akimkabidhi Diwani wa Kata ya Busunzu Mhe. Razalo P. Ntukamazina, huku Diwani Viti maalum CCM 

Mhe. Grace Zacharia na Wananchi wote wa Kata hiyo wakishuhudia.


Miongoni mwa nasaha zilizotolewa na Mhe. Bura, katika hafra hiyo, amewataka Wananchi kutumia Vema Misaada inayotolewa na viongozi wa Kuchaguliwa na wale wa kuteuliwa kulingana na matakwa ya Serikali ya Awamu ya Tano ambayo imejipambanua kupingania haki za wanyonge.

Katika kuonekana kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kibondo hataki masihara na mtu yeyote anayejaribu kukwamisha jitihada za Serikali hasa hii awamu ya Tano ambayo inaondoa kero za wananchi kwa vitendo  Bura ameapa kumshughurikia.

 Ameyasema hayo baada ya kuridhika na Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Busunzu, kilichopo Wilaya ya Kibondo, wakati alipoongozana na Maafisa  ngazi ya Halmashauri na Wilaya siku ya Alhamisi tarehe 16.11.2017, alipokuwa akikabidhi Saruji na kusikiliza kero za Wananchi Kata ya Busunzu.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHURI YA WILAYA YA KIBONDO March 26, 2018
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA KIBONDO March 23, 2018
  • TANGAZO LA VIWANJA 309 KATIKA ENEO LA NENGO KITALU A MAKAO MAKUU YA WILAYA YA KIBONDO March 16, 2018
  • TANGAZO LA SIKU YA KUFANYA MAZOEZI KWA WANANCHI WOTE NA WATUMISHI WA SERIKALI NA TAASISI March 09, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • KIBONDO YAAHIDI KUTOA MIKOPO KWA WANAWAKE NA VIJANA

    March 17, 2018
  • Mwenyekiti Kibondo ‘aapa kula sahani moja na wapiga dili’

    February 28, 2018
  • Halmashauri ya kibondo kuongeza uzalishaji wa Kahawa kutoka ekari 23 kufikia 123.

    February 27, 2018
  • MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA KIBONDO NA MWENYEKITI WA HALMASHAURI MHE: HAMISI MAURIDI WA MWAGIWA SIFA KEM KEM.

    January 26, 2018
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi Mtendaji na Mbunge wakitoa maelekezo kwa Wananchi.
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Constructions of Latrines
  • Investment Reports
  • Construction of Four Stall at Nanenane Bus Stand
  • Construction of Health Staff House at Kifura
  • Rehabilitation of Canteen at CotC Kibondo
  • Construction of Administration Building
  • OPRAS FOMU
  • Sick-Sheet Forms
  • Upimaji wa Viwanja Eneo la Kijiji cha Nengo

Zinazohusiana

  • UTUMISHI
  • PO-RALG
  • NECTA
  • PUBLIC PROCUREMENT REGULATORY AUTHORITY
  • UTUMISHI PORTAL
  • KIGOMA REGION
  • WANANCHI PORTAL
  • INVESTMENT CENTRE
  • AJIRA
  • Ministry of Industries

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Wasiliana nasi

    KIBONDO DISTRICT COUNCIL, KIBONDO TOWNSHIP IHULILO STREET

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 43, KIBONDO

    Simu ya Mezani: +255 028 282 0084

    Simu: +255 028 282 0084

    Barua pepe: ded@kibondodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma
    • Kanusho

Hakimiliki ©2017 Kibondodc .Haki zote zimehifadhiwa.