• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara |
    • Barua pepe za Ofisini |
KIBONDO DISTRICT COUNCIL
KIBONDO DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serilali za Mitaa HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBONDO

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Msingi wa Maadili
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Afya na Ustawi wa Jamii
      • Maji
      • Maendeleo ya Jamii
      • Fedha na Biashara
      • Maliasil Ardhi na Mistu
      • Kilimo Ushirika na Umwagiriaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Mipango Takwimu na Ufuatiliaji
      • Idara ya Ujenzi
    • Vitengo
      • Ugavi na Manunuzi
      • Kitengo cha Teknolojia na Habari
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Ufugaji Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Maadili
      • Afya, Elimu na Maji
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
    • Ratiba
      • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamamilika
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha

WABEBA MIZIGO KIBOINDO WAKUMBUKWA

Posted on: June 12th, 2018

Mbunge  wa  jimbo  la muhambwe  ataka wananchi kutokua  waoga .

Ambunganate .Hili nineno  la kilatini  lenye  maana ya kuunganisha jamii.

Mh.Nditiye  ambaye  nimbunge  wa jimbo la muhambwe amesema viongozi wote wa kuchaguliwa  wanawajibu  wakujitambua  kwamba  wao ni waunganishaji wa jamii  baina ya  wananchi  hasa  walioko vijijini na maeneo  ya mijini.

Ameyasema  hayo  wakati alipokua  katika  ziara   iliyochukua siku mmoja  huku  kata  alizofanikiwa  kufika  zikiwa  ni mabamba,kumsenga  na kibondo  mjini.Miongoni  mwa masuala  ambayo  yalimvuta  na kumshangaza nditiye  akiwa  katika  kata ya kibondo  mjini 9.6.2018 nipale  aliposikia  malalamiko   kutoka  kwa  wa nanchi  wakibondo  ambao ni  wabeba  mizigo.Malalamiko kutoka  kwa  wa beba mizigo  hao  yalikua hivi, mh mbunge  wewe nimbunge  wawote  ,wabeba mizigo ni wakwako,walevi  ni wakwako na hata wazurulaji  ni wakwako.

Mbeba  mizigo  mmoja  jina linahifadhiwa alifikisha malalamiko  haya  kwa  mbunge Nditiye .Sisi wabeba  mizigo  serikali imetusahau  kabisa tunaomba utuambie nilini  serikali   itatukumbuka? .Inasikitisha  kuona hata  tukipigana  au  tukidhurumiana,   hakuna anaye uliza   ,hata tukitoana  ngeo  utasikia  wale niwa beba mizigo.Mheshimiwa   maisha haya tunayoishi  nimatokeo  ya wazazi  wetu  kuwa  miongoni  mwa  kundi  la watu masikini  sana.Wengine  wanaishi  kwakuhudumiwa  na TASAF.Sasa  mh.utatusaidiaje  ili watoto watoto   wetu  na wajukuu  wetu  wasije kuturithi  kazi  za kubeba  mizigoi ?  kwakweli  maisha  niyatabu sana alisema mbeba  mizigo  huyo.

  Kwanza  nawaombeni sana  msiwaogope viongozi  wenu  mliowachagua ,pili  hata kama hamjui  kusoma  na kuandika  jiungeni  pamoja  nitawatafutia  Mtaalamu  na  wahakikishieni mikopo   ya  kujiendeleza  mtapata,mkifikia   hatua  hiyo   mtajikomboa  kiuchumi  nyinyi  na watoto  wenu  alisema  Mbunge.

  

Mbunge  wa  jimbo  la muhambwe  ataka wananchi kutokua  waoga .

Ambunganate .Hili nineno  la kilatini  lenye  maana ya kuunganisha jamii.

Mh.Nditiye  ambaye  nimbunge  wa jimbo la muhambwe amesema viongozi wote wa kuchaguliwa  wanawajibu  wakujitambua  kwamba  wao ni waunganishaji wa jamii  baina ya  wananchi  hasa  walioko vijijini na maeneo  ya mijini.

Ameyasema  hayo  wakati alipokua  katika  ziara   iliyochukua siku mmoja  huku  kata  alizofanikiwa  kufika  zikiwa  ni mabamba,kumsenga  na kibondo  mjini.Miongoni  mwa masuala  ambayo  yalimvuta  na kumshangaza nditiye  akiwa  katika  kata ya kibondo  mjini 9.6.2018 nipale  aliposikia  malalamiko   kutoka  kwa  wa nanchi  wakibondo  ambao ni  wabeba  mizigo.Malalamiko kutoka  kwa  wa beba mizigo  hao  yalikua hivi, mh mbunge  wewe nimbunge  wawote  ,wabeba mizigo ni wakwako,walevi  ni wakwako na hata wazurulaji  ni wakwako.

Mbeba  mizigo  mmoja  jina linahifadhiwa alifikisha malalamiko  haya  kwa  mbunge Nditiye .Sisi wabeba  mizigo  serikali imetusahau  kabisa tunaomba utuambie nilini  serikali   itatukumbuka? .Inasikitisha  kuona hata  tukipigana  au  tukidhurumiana,   hakuna anaye uliza   ,hata tukitoana  ngeo  utasikia  wale niwa beba mizigo.Mheshimiwa   maisha haya tunayoishi  nimatokeo  ya wazazi  wetu  kuwa  miongoni  mwa  kundi  la watu masikini  sana.Wengine  wanaishi  kwakuhudumiwa  na TASAF.Sasa  mh.utatusaidiaje  ili watoto watoto   wetu  na wajukuu  wetu  wasije kuturithi  kazi  za kubeba  mizigoi ?  kwakweli  maisha  niyatabu sana alisema mbeba  mizigo  huyo.

  Kwanza  nawaombeni sana  msiwaogope viongozi  wenu  mliowachagua ,pili  hata kama hamjui  kusoma  na kuandika  jiungeni  pamoja  nitawatafutia  Mtaalamu  na  wahakikishieni mikopo   ya  kujiendeleza  mtapata,mkifikia   hatua  hiyo   mtajikomboa  kiuchumi  nyinyi  na watoto  wenu  alisema  Mbunge.

  

Mbunge  wa  jimbo  la muhambwe  ataka wananchi kutokua  waoga .

Ambunganate .Hili nineno  la kilatini  lenye  maana ya kuunganisha jamii.

Mh.Nditiye  ambaye  nimbunge  wa jimbo la muhambwe amesema viongozi wote wa kuchaguliwa  wanawajibu  wakujitambua  kwamba  wao ni waunganishaji wa jamii  baina ya  wananchi  hasa  walioko vijijini na maeneo  ya mijini.

Ameyasema  hayo  wakati alipokua  katika  ziara   iliyochukua siku mmoja  huku  kata  alizofanikiwa  kufika  zikiwa  ni mabamba,kumsenga  na kibondo  mjini.Miongoni  mwa masuala  ambayo  yalimvuta  na kumshangaza nditiye  akiwa  katika  kata ya kibondo  mjini 9.6.2018 nipale  aliposikia  malalamiko   kutoka  kwa  wa nanchi  wakibondo  ambao ni  wabeba  mizigo.Malalamiko kutoka  kwa  wa beba mizigo  hao  yalikua hivi, mh mbunge  wewe nimbunge  wawote  ,wabeba mizigo ni wakwako,walevi  ni wakwako na hata wazurulaji  ni wakwako.

Mbeba  mizigo  mmoja  jina linahifadhiwa alifikisha malalamiko  haya  kwa  mbunge Nditiye .Sisi wabeba  mizigo  serikali imetusahau  kabisa tunaomba utuambie nilini  serikali   itatukumbuka? .Inasikitisha  kuona hata  tukipigana  au  tukidhurumiana,   hakuna anaye uliza   ,hata tukitoana  ngeo  utasikia  wale niwa beba mizigo.Mheshimiwa   maisha haya tunayoishi  nimatokeo  ya wazazi  wetu  kuwa  miongoni  mwa  kundi  la watu masikini  sana.Wengine  wanaishi  kwakuhudumiwa  na TASAF.Sasa  mh.utatusaidiaje  ili watoto watoto   wetu  na wajukuu  wetu  wasije kuturithi  kazi  za kubeba  mizigoi ?  kwakweli  maisha  niyatabu sana alisema mbeba  mizigo  huyo.

  Kwanza  nawaombeni sana  msiwaogope viongozi  wenu  mliowachagua ,pili  hata kama hamjui  kusoma  na kuandika  jiungeni  pamoja  nitawatafutia  Mtaalamu  na  wahakikishieni mikopo   ya  kujiendeleza  mtapata,mkifikia   hatua  hiyo   mtajikomboa  kiuchumi  nyinyi  na watoto  wenu  alisema  Mbunge.

  

Mbunge  wa  jimbo  la muhambwe  ataka wananchi kutokua  waoga .

Ambunganate .Hili nineno  la kilatini  lenye  maana ya kuunganisha jamii.

Mh.Nditiye  ambaye  nimbunge  wa jimbo la muhambwe amesema viongozi wote wa kuchaguliwa  wanawajibu  wakujitambua  kwamba  wao ni waunganishaji wa jamii  baina ya  wananchi  hasa  walioko vijijini na maeneo  ya mijini.

Ameyasema  hayo  wakati alipokua  katika  ziara   iliyochukua siku mmoja  huku  kata  alizofanikiwa  kufika  zikiwa  ni mabamba,kumsenga  na kibondo  mjini.Miongoni  mwa masuala  ambayo  yalimvuta  na kumshangaza nditiye  akiwa  katika  kata ya kibondo  mjini 9.6.2018 nipale  aliposikia  malalamiko   kutoka  kwa  wa nanchi  wakibondo  ambao ni  wabeba  mizigo.Malalamiko kutoka  kwa  wa beba mizigo  hao  yalikua hivi, mh mbunge  wewe nimbunge  wawote  ,wabeba mizigo ni wakwako,walevi  ni wakwako na hata wazurulaji  ni wakwako.

Mbeba  mizigo  mmoja  jina linahifadhiwa alifikisha malalamiko  haya  kwa  mbunge Nditiye .Sisi wabeba  mizigo  serikali imetusahau  kabisa tunaomba utuambie nilini  serikali   itatukumbuka? .Inasikitisha  kuona hata  tukipigana  au  tukidhurumiana,   hakuna anaye uliza   ,hata tukitoana  ngeo  utasikia  wale niwa beba mizigo.Mheshimiwa   maisha haya tunayoishi  nimatokeo  ya wazazi  wetu  kuwa  miongoni  mwa  kundi  la watu masikini  sana.Wengine  wanaishi  kwakuhudumiwa  na TASAF.Sasa  mh.utatusaidiaje  ili watoto watoto   wetu  na wajukuu  wetu  wasije kuturithi  kazi  za kubeba  mizigoi ?  kwakweli  maisha  niyatabu sana alisema mbeba  mizigo  huyo.

  Kwanza  nawaombeni sana  msiwaogope viongozi  wenu  mliowachagua ,pili  hata kama hamjui  kusoma  na kuandika  jiungeni  pamoja  nitawatafutia  Mtaalamu  na  wahakikishieni mikopo   ya  kujiendeleza  mtapata,mkifikia   hatua  hiyo   mtajikomboa  kiuchumi  nyinyi  na watoto  wenu  alisema  Mbunge.

  

Mbunge  wa  jimbo  la muhambwe  ataka wananchi kutokua  waoga .

Ambunganate .Hili nineno  la kilatini  lenye  maana ya kuunganisha jamii.

Mh.Nditiye  ambaye  nimbunge  wa jimbo la muhambwe amesema viongozi wote wa kuchaguliwa  wanawajibu  wakujitambua  kwamba  wao ni waunganishaji wa jamii  baina ya  wananchi  hasa  walioko vijijini na maeneo  ya mijini.

Ameyasema  hayo  wakati alipokua  katika  ziara   iliyochukua siku mmoja  huku  kata  alizofanikiwa  kufika  zikiwa  ni mabamba,kumsenga  na kibondo  mjini.Miongoni  mwa masuala  ambayo  yalimvuta  na kumshangaza nditiye  akiwa  katika  kata ya kibondo  mjini 9.6.2018 nipale  aliposikia  malalamiko   kutoka  kwa  wa nanchi  wakibondo  ambao ni  wabeba  mizigo.Malalamiko kutoka  kwa  wa beba mizigo  hao  yalikua hivi, mh mbunge  wewe nimbunge  wawote  ,wabeba mizigo ni wakwako,walevi  ni wakwako na hata wazurulaji  ni wakwako.

Mbeba  mizigo  mmoja  jina linahifadhiwa alifikisha malalamiko  haya  kwa  mbunge Nditiye .Sisi wabeba  mizigo  serikali imetusahau  kabisa tunaomba utuambie nilini  serikali   itatukumbuka? .Inasikitisha  kuona hata  tukipigana  au  tukidhurumiana,   hakuna anaye uliza   ,hata tukitoana  ngeo  utasikia  wale niwa beba mizigo.Mheshimiwa   maisha haya tunayoishi  nimatokeo  ya wazazi  wetu  kuwa  miongoni  mwa  kundi  la watu masikini  sana.Wengine  wanaishi  kwakuhudumiwa  na TASAF.Sasa  mh.utatusaidiaje  ili watoto watoto   wetu  na wajukuu  wetu  wasije kuturithi  kazi  za kubeba  mizigoi ?  kwakweli  maisha  niyatabu sana alisema mbeba  mizigo  huyo.

  Kwanza  nawaombeni sana  msiwaogope viongozi  wenu  mliowachagua ,pili  hata kama hamjui  kusoma  na kuandika  jiungeni  pamoja  nitawatafutia  Mtaalamu  na  wahakikishieni mikopo   ya  kujiendeleza  mtapata,mkifikia   hatua  hiyo   mtajikomboa  kiuchumi  nyinyi  na watoto  wenu  alisema  Mbunge.

  





Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2018 January 24, 2019
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA WANANCHI WOTE October 08, 2018
  • TANGAZO LA UWEPO WA BARAZA LA MADIWANI KWA WANANCHI WOTE September 04, 2018
  • KUITWA KWENYE USAILI WATENDAJI WA VIJIJI WALIO OMBA NAFASI May 03, 2018
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • UKARABATI NA UPANUZI WA KITUO CHA AFYA MABAMBA

    February 08, 2019
  • WALIMU KIBONDO WAPONGEZWA

    February 04, 2019
  • KIBONDO YA PONGEZWA KATIKA MIRADI ILIYOTEKELEZWA

    November 11, 2018
  • KUNAWA MIKONO NI KICHOCHEO CHA AFYA BORA

    October 20, 2018
  • Tazama zote

Video

Mkurugenzi Mtendaji na Mbunge wakitoa maelekezo kwa Wananchi.
Video zaidi

Viungio vya Haraka

  • Constructions of Latrines
  • Investment Reports
  • Construction of Four Stall at Nanenane Bus Stand
  • Construction of Health Staff House at Kifura
  • Rehabilitation of Canteen at CotC Kibondo
  • Construction of Administration Building
  • OPRAS FOMU
  • Sick-Sheet Forms
  • Upimaji wa Viwanja Eneo la Kijiji cha Nengo

Zinazohusiana

  • UTUMISHI
  • PO-RALG
  • NECTA
  • PUBLIC PROCUREMENT REGULATORY AUTHORITY
  • UTUMISHI PORTAL
  • KIGOMA REGION
  • WANANCHI PORTAL
  • INVESTMENT CENTRE
  • AJIRA
  • Ministry of Industries

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Wasiliana nasi

    KIBONDO DISTRICT COUNCIL, KIBONDO TOWNSHIP IHULILO STREET

    Anuani ya Posta: P.O.BOX 43, KIBONDO

    Simu ya Mezani: +255 028 282 0084

    Simu: +255 028 282 0084

    Barua pepe: ded@kibondodc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

Idadi ya Wasomaji

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Maswali yanayoulizwa mara kwa mara
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma
    • Kanusho

Hakimiliki ©2017 Kibondodc .Haki zote zimehifadhiwa.